Sera ya Faragha

Mafunzo ya kamati za hesabu za Bunge

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali (NAOT) imeandaa mafunzo ya siku tano kuanzia tarehe 21 - 25 Februari, 2011 kwa ajili ya kamati za hesabu za bunge zinazosimamia fedha za umma. Mafunzo haya…

Soma Zaidi

Ukaguzi wa Hesabu za Mwaka wa Fedha Unaoishia Tarehe 30 Juni 2010 Waanza

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Bw. Ludovick Utouh ameanza kukagua hesabu za mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni 2010. Hesabu hizi ziliwasilishwa na wizara, idara, wakala na taasisi…

Soma Zaidi