Watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi Watakiwa Kufanya Kazi kwa Bidii, Ueledi na Uadilifu

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali imempokea Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Bwana Charles Edward Kichere ambaye anachukua nafasi ya Profesa Mussa Juma Assad aliyemaliza muda…

Soma Zaidi

Congratulation to the Appointed CAG, Mr. Charles Kichere

The Management and Staff of the National Audit Office (NAOT) join all Tanzanians in Congratulating Mr. Charles Kichere on his appointment as Controller and Auditor General (CAG).

Soma Zaidi

Ufunguzi warsha ya Toleo Maalumu la Mwananchi la Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali

Mkaguzi Mkuu wa Ndani katika Mkoa wa Mbeya Bwana Exaud Nitukusya (aliyesimama) akiwa pamoja na Bwana Frank (Kushoto) na Bibi Happy Severine  (Kulia) wakati wa ufunguzi wa  warsha ya siku tatu ya…

Soma Zaidi

CAG Charles Kichere akabidhiwa ofisi

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Bwana Charles Kichere amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Prof. Mussa J. Assad ambaye amemaliza muda…

Soma Zaidi

Commonwealth recognized NAOT’s effort on Capacity Building on Environmental Audit

The third article is a valuable account of how SAI Tanzania is developing its people, methodologies and international relationships to deliver its environmental audit programme more effectively. On behalf of…

Soma Zaidi

Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa Ya Ukaguzi kuhamia Dodoma

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi inawatangazia wadau wake wote na Watanzania kwa Ujumla, Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) imehamia rasmi Makao Makuu ya Serikali jijini Dodoma kuanzia Tarehe 01 Augosti 2019. Kutokana…

Soma Zaidi

Washiriki wa Warsha ya siku tatu ya Toleo la Ripoti Maalumu ya Mwananchi

Mkaguzi Mkuu wa Nje katika katika Ofisi ya CAG  Mkoa wa Mbeya Bwana Exaud Nitukusya (katikati) akiwa na Watumishi wenzake na washiriki kutoka Asasi zisizo za Kiserikali na Wanahabari wakati wa ufunguzi…

Soma Zaidi

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali akabidhi nafasi yake ya Ujumbe wa Bodi ya Ukaguzi ya Umoja wa Mataifa (UNBoA) kwa nchi ya Chile

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali akabidhi nafasi yake ya Ujumbe wa Bodi ya Ukaguzi ya Umoja wa Mataifa (UNBoA) kwa nchi ya Chile, katika Ofisi ya UNBoA, New York, Marekani.

Soma Zaidi