Toleo Maalumu la Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2017/2018

Toleo hili kwa ajili ya wananchi limegawanyika katika sehemu kuu tisa. Taarifa za fedha zilizokaguliwa kwa hesabu zinazoishia tarehe 30 June 2018 pamoja na ukaguzi wa Ufanisi na ukaguzi wa Mifumo ya…

Soma Zaidi

Mafunzo ya ukaguzi wa miradi ya Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali yafunguliwa mkoani Singida

Naibu Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Bi Wendy Massoy (mwenye  suti ya bluu katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya masuala ya ubia baina ya Serikali na Taasisi binafsi,mara…

Soma Zaidi

Watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi Watakiwa Kufanya Kazi kwa Bidii, Ueledi na Uadilifu

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali imempokea Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Bwana Charles Edward Kichere ambaye anachukua nafasi ya Profesa Mussa Juma Assad aliyemaliza muda…

Soma Zaidi

Congratulation to the Appointed CAG, Mr. Charles Kichere

The Management and Staff of the National Audit Office (NAOT) join all Tanzanians in Congratulating Mr. Charles Kichere on his appointment as Controller and Auditor General (CAG).

Soma Zaidi

Ufunguzi warsha ya Toleo Maalumu la Mwananchi la Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali

Mkaguzi Mkuu wa Ndani katika Mkoa wa Mbeya Bwana Exaud Nitukusya (aliyesimama) akiwa pamoja na Bwana Frank (Kushoto) na Bibi Happy Severine  (Kulia) wakati wa ufunguzi wa  warsha ya siku tatu ya…

Soma Zaidi

CAG Charles Kichere akabidhiwa ofisi

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Bwana Charles Kichere amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Prof. Mussa J. Assad ambaye amemaliza muda…

Soma Zaidi

Commonwealth recognized NAOT’s effort on Capacity Building on Environmental Audit

The third article is a valuable account of how SAI Tanzania is developing its people, methodologies and international relationships to deliver its environmental audit programme more effectively. On behalf of…

Soma Zaidi

Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa Ya Ukaguzi kuhamia Dodoma

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi inawatangazia wadau wake wote na Watanzania kwa Ujumla, Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) imehamia rasmi Makao Makuu ya Serikali jijini Dodoma kuanzia Tarehe 01 Augosti 2019. Kutokana…

Soma Zaidi