Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC ) na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wafanya ziara kwenye mradi wa ujenzi wa kiwanda cha sukari cha Mkulazi
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC ) ikiongozwa na Mheshimiwa Naghenjwa Kaboyoka Mbunge wa Same Mashariki ikishirikiana na Ofisi ya Taifa ya ukaguzi wa Hesabu za Serikali imefanya ziara ya kutembelea…
Soma Zaidi