Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka wa Fedha ulioishia Tarehe 30 Juni 2019 zawasilishwa Bungeni leo tarehe 06 Aprili 2020

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali  anapenda kuvijulisha vyombo vya Habari  na Umma wa Watanzania kwamba leo Tarehe 6 Aprili 2020 taarifa zake za Ukaguzi kwa Mwaka wa Fedha ulioishia…

Soma Zaidi

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akabidhi ripoti za Ukaguzi kwa Raisi Dkt. John Pombe Magufuli ya mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 June 2019.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Edward Kichere leo tarehe 26 Machi, 2020 amemkabidhi Mheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ripoti ya ukaguzi…

Soma Zaidi

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi yafanya Warsha ya siku mbili kwa Waandishi wa Habari Mkoani Mwanza

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali inaendesha warsha ya siku mbili na Waandishi wa Habari  Mkoani Mwanza. Warsha hii ina lengo la kuwajengea washiriki uwezo katika kuripoti taarifa za…

Soma Zaidi

Mwakilishi wa Balozi wa Sweden atembelea Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi

Mwakilishi wa Balozi wa Sweden atembelea Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi

Soma Zaidi

Ofisi ya Taifa ya ukaguzi yafanya kikao kazi na wadau mbalimbali wa sheria mkoani - Singida

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi inaendesha kikao kikao kazi juu ya matumizi ya Nyaraka za Ukaguzi katika uchunguzi na uendeshaji wa mashauri Mahakamani yanayowashirikisha wataalamu kutoka Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi,…

Soma Zaidi

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Yafanya warsha ya siku mbili mkoani Morogoro

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali  inaendesha warsha ya siku mbili (Februari 6-7,2020) kwa Wahariri wa vyombo vya Habari  na waandishi wa Habari  Mkoani Morogoro. Warsha…

Soma Zaidi

Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles Edward Kichere pamoja na watumishi wote wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali wanaungana na Watanzania wote katika kuadhimisha…

Soma Zaidi

Washiriki wa Warsha wakimsikiliza Msemaji MKuu wa Serikali

Baadhi ya washiriki wakimsikiliza Msemaji MKuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi wakati akiwasilisha mada ya Wajibu wa Wanahabari katika kuandika ripoti katika warsha  iliyofanyika katika ofisi ya Taifa ya…

Soma Zaidi