News and Announcements

Happy Independence Day

Happy Independence Day

Read More

Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Salhina Mkumba akiwa na Washiriki wa Warsha ya kuongeza uelewa wa Maadili iliyoandaliwa na INTOSAI-IDI na kufanyika Dodoma Novemba 15, 2023.

Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Salhina Mkumba (katikati), katika picha ya pamoja na washiriki wa warsha ya ISSAI 130 kuhusu maadili na muongozo wa kimataifa katika ukaguzi. Warsha…

Read More

Controller and Auditor General (CAG), Mr. Charles E. Kichere, visits China for pivotal audit collaboration, invited by the Chinese Auditor General’s Office.

Controller and Auditor General (CAG), Mr. Charles E. Kichere, visits China for pivotal audit collaboration, invited by the Chinese Auditor General's Office.

Read More

Pongezi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (MB) kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).

Pongezi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (MB) kwa kuchaguliwa  kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).

Read More

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Charles E. Kichere akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi Vijana (SAI Young Leaders) kutoka Taasisi Kuu za Ukaguzi za nchi za Mataifa mbalimbali.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Charles E. Kichere akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi Vijana (SAI Young Leaders) kutoka Taasisi Kuu za Ukaguzi za nchi za Tanzania, China, Costa Rica,…

Read More

Katika kumuenzi Mwalimu, Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi itaendelea Kutoa Huduma za Ukaguzi zinazoimarisha Uwajibikaji na Uwazi katika Usimamizi wa Rasilimali za Umma.

Katika kumuenzi Mwalimu, Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi itaendelea Kutoa Huduma za Ukaguzi zinazoimarisha Uwajibikaji na Uwazi katika Usimamizi wa Rasilimali za Umma.

Read More

Furaha Kaboneka wa NAOT Nyota wa Riadha Mita 100 SHIMIWI 2023.

Furaha Kaboneka wa NAOT Nyota wa Riadha Mita 100 SHIMIWI 2023.

Read More

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi yashiriki ufunguzi wa Mkutano wa Wiki ya Ufuatiliaji na Tathmini Septemba 12, 2023 jijini Arusha.

Mwakilishi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. George Haule akiwasilisha mada kwenye Mkutano wa Wiki ya Ufuatiliaji na Tathmini (M&E) kuhusu umuhimu wa Thamani ya Fedha katika Sekta ya…

Read More