Habari na Matangazo

Tarehe Jina Kundi
18 Apr, 2024 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E. Kichere amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la JP Magufuli lenye Urefu wa Km 3.2 (Kigongo -Busisi), Mwanza.
Habari na Matukio
18 Apr, 2024 Rais wa Mahakama ya Ukaguzi wa Hesabu ya Ufalme wa Saudi Arabia, Dkt. Husam Alangari na Ujumbe wake wamefanya ziara kwenye Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi jijini Dar es Salaam.
Habari na Matukio
16 Apr, 2024 CAG, Bw. Charles E. Kichere akikaribishwa Bungeni na Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azan Zungu wakati Serikali ilipowasilisha Bungeni Ripoti za Ukaguzi wa CAG kwa Mwaka wa Fedha 2022/23.
Habari na Matukio
15 Apr, 2024 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E. Kichere amezungumza na Waandishi wa Habari jijini Dodoma kuhusiana na Ripoti Kuu za Ukaguzi wa Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/23.
Habari na Matukio
09 Apr, 2024 Salamu za Pole kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwenda kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
28 Mar, 2024 CAG, Bw. Charles E. Kichere amewasilisha Ripoti ya Ukaguzi wa Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Habari na Matukio
21 Mar, 2024 The Auditor Journal, January - April 2024.
Habari na Matukio
09 Mar, 2024 Celebrating International Women’s Day 2024: Women from the National Audit Office Actively Participate, Showcasing their Vital Role in Auditing Tasks.
Habari na Matukio
08 Mar, 2024 Heri ya Siku ya Wanawake Duniani 2024.
Habari na Matukio
01 Mar, 2024 Pumzika kwa Amani,  Hayati Alhaj Ali Hassan Mwinyi,  Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1925 - 2024.
Habari na Matukio
27 Feb, 2024 Controller and Auditor General (CAG), Mr. Charles E. Kichere hands over medals and certificates to 20 NAOT Employees who have passed the CISA examination.
Habari na Matukio
05 Feb, 2024 CAG, Bw. Charles E. Kichere amefungua mafunzo kwa Wajumbe wa Kamati za Bunge za Kudumu za Hesabu za Serikali (PAC), Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), na Kamati ya Bajeti.
Habari na Matukio
24 Jan, 2024 CAG, Bw. Charles E. Kichere na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi watembelea miradi mbalimbali ya ujenzi wa Mji wa Serikali, Mtumba Dodoma.
Habari na Matukio
24 Jan, 2024 Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Juma Selemani Mkomi amezindua Baraza Jipya la Wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.
Habari na Matukio
22 Jan, 2024 National Audit Office of Tanzania Achieves Global Excellence with ISO 9001:2015 Certification.
Habari na Matukio
12 Jan, 2024 Heri ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Habari na Matukio
09 Jan, 2024 Staff Member of the National Audit Office of Tanzania, Mr. Kahere has earned the Prestigious Second Place Worldwide in the Certified Ethical Hacker Master Examination conducted by the EC-Council.
Habari na Matukio
24 Dec, 2023 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Charles E. Kichere, anawatakia Watumishi na Wadau wote wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Krismasi Njema na Heri ya Mwaka Mpya 2024.
Habari na Matukio
11 Dec, 2023 Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa akimkabidhi CAG, Bw. Charles E. Kichere cheti cha ushiriki wa Wiki ya Utoaji Huduma kwa Umma na Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu.
Habari na Matukio
11 Dec, 2023 Maofisa kutoka Chuo Kikuu cha Ukaguzi cha Nanjing-China wakiongozwa na Prof. Weilong wamefanya mazungumzo na viongozi wa NAOT ili kujadili mikakati ya kuimarisha uhusiano baina ya Taasisi hizi mbili.
Habari na Matukio
09 Dec, 2023 Happy Independence Day
Habari na Matukio
16 Nov, 2023 Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Salhina Mkumba akiwa na Washiriki wa Warsha ya kuongeza uelewa wa Maadili iliyoandaliwa na INTOSAI-IDI na kufanyika Dodoma Novemba 15, 2023.
Habari na Matukio
14 Nov, 2023 Controller and Auditor General (CAG), Mr. Charles E. Kichere, visits China for pivotal audit collaboration, invited by the Chinese Auditor General’s Office.
Habari na Matukio
28 Oct, 2023 Pongezi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (MB) kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).
Habari na Matukio
24 Oct, 2023 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Charles E. Kichere akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi Vijana (SAI Young Leaders) wa Taasisi Kuu za Ukaguzi kutoka Mataifa mbalimbali.
Habari na Matukio
14 Oct, 2023 Katika kumuenzi Mwalimu, Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi itaendelea Kutoa Huduma za Ukaguzi zinazoimarisha Uwajibikaji na Uwazi katika Usimamizi wa Rasilimali za Umma.
11 Oct, 2023 Furaha Kaboneka wa NAOT Nyota wa Riadha Mita 100 SHIMIWI 2023.
Habari na Matukio
13 Sep, 2023 Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi yashiriki ufunguzi wa Mkutano wa Wiki ya Ufuatiliaji na Tathmini Septemba 12, 2023 jijini Arusha.
Habari na Matukio
12 Sep, 2023 The National Audit Office of Tanzania is actively engaging in a pivotal Regional East Africa cooperation workshop, alongside counterparts from Supreme Audit Institutions (SAIs).
Habari na Matukio
11 Sep, 2023 Karibu “subscribe” kwenye Online Ukaguzi TV kwenye mtandao wa YouTube upate elimu na habari mbalimbali kuhusu Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.
Habari na Matukio
29 Aug, 2023 Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi imeendesha mafunzo kwa Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Arusha. Mafunzo hayo yaliyohusisha Wanachama wa “Arusha Press Club” yamefanyika Jumatatu, Agosti 28, 2023 jijini Arusha.
Habari na Matukio
15 Aug, 2023 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E. Kichere amefungua mafunzo kuhusu uchakataji wa data kwa kutumia programu ya Excel.
Habari na Matukio
02 Aug, 2023 Mafunzo ya kuwajengea uwezo Wakaguzi wa Ufanisi yaliyoandaliwa na AFROSAI-E kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi yanaendelea jijini Arusha.
27 Jul, 2023 Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi imekabidhi msaada wa mahitaji mbalimbali kwa Gereza Kuu Isanga ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka 2023.
Habari na Matukio
26 Jul, 2023 Maofisa wa Shirika la Fedha la Kimataifa la (IMF) kutoka Washington, D.C. Marekani wamekutana na Viongozi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi nakujadiliana masuala mbalimbali ya ushirikiano.
Habari na Matukio
19 Jul, 2023 Njia rasmi za kuwasilisha maoni, mapendekezo au malalamiko Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.
Habari na Matukio
19 Jul, 2023 Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bi. Wendy Massoy amefungua mafunzo kwa Watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kuhusiana na “Risk Management and Compliance”.
Habari na Matukio
17 Jul, 2023 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E. Kichere amefanya Mkutano na Taasisi Binafsi za Ukaguzi jijini Dodoma siku ya Ijumaa Julai 14, 2023.
Habari na Matukio
07 Jul, 2023 Heri ya Sikukuu ya SabaSaba 2023.
Habari na Matukio
07 Jul, 2023 Pongezi za Uteuzi
Habari na Matukio
22 Jun, 2023 Mfanyakazi Bora wa Jumla na Wafanyakazi Bora wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi 2023.
Habari na Matukio
22 Jun, 2023 Wafanyakazi Bora wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi 2023.
Habari na Matukio
16 Jun, 2023 Bw. Stephen Habari amechaguliwa kuwa Mfanyakazi Bora wa Jumla wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kwa mwaka 2023.
Habari na Matukio
15 Jun, 2023 Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi yaalikwa Bungeni kusikiliza Serikali ikiwasilisha Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2022 na mpango wa Maendelo wa Taifa kwa mwaka 2023/2024.
Habari na Matukio
13 Jun, 2023 CAG, akagua hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa Jengo la kisasa la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Mkoa wa Songwe.
Habari na Matukio
13 Jun, 2023 Ujenzi wa Jengo la kisasa la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Mkoa wa Songwe.
Habari na Matukio
07 Jun, 2023 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Afisa wa NAOT, Bi. Nuru Waziri Kindamba kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje.
Habari na Matukio
05 Jun, 2023 CAG, Bw. Charles E. Kichere ameshiriki kwenye tukio la uwasilishaji wa Taarifa za Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
18 May, 2023 CAG, Bw. Charles E. Kichere akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na Watendaji wa ngazi mbalimbali wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi katika Kikao Kazi, jijini Arusha Mei 15-19, 2023.
Habari na Matukio
10 May, 2023 Deputy Auditor General (DAG), Mr. George Haule represents CAG at the 2023 AFROSAI-E Strategic Review and 19th Governing Board Meeting held in Ghana from May 8-11, 2023.
Habari na Matukio
09 May, 2023 Karibu ujiunge na Mitando yetu ya Kijamii ya Twitter, Facebook, Instagram kupitia @ukaguzitanzania na YouTube kupitia @OfisiyaTaifayaUkaguzi
Habari na Matukio
26 Apr, 2023 Heri ya Miaka 59 ya Muungano, 1964-2023.
Habari na Matukio
24 Apr, 2023 Timu ya Netiboli ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi yaingia Robo Fainali ya Michezo ya Mei Mosi 2023 inayofanyika mjini Morogoro.
Habari na Matukio
22 Apr, 2023 Heri ya Sikukuu ya Eid al-Fitr.
Habari na Matukio
20 Apr, 2023 Ushiriki wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kwenye Michezo ya Mei Mosi, 2023 inayofanyika Mkoani Morogoro.
Habari na Matukio
12 Apr, 2023 CAG, Bw. Charles E. Kichere amewahimiza Waajiriwa wapya kuzingatia maadili, uadilifu, umahiri pamoja na kutumia Teknolojia ya Kisasa ili kuboresha Kazi za Ukaguzi.
Habari na Matukio
09 Apr, 2023 Heri ya Sikukuu ya Pasaka.
Habari na Matukio
09 Apr, 2023 Maadhisho ya Kumbumbuku ya Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hayati Abeid Aman Karume.
Habari na Matukio
09 Apr, 2023 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E. Kichere akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Taarifa yake ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022.
Habari na Matukio
29 Mar, 2023 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepokea Taarifa Kuu ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 kutoka kwa CAG, Bw. Charles E. Kichere.
Habari na Matukio
29 Mar, 2023 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) asaini Taarifa Kuu ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022.
Habari na Matukio
24 Mar, 2023 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imepokea na kupitisha mapendekezo ya Bajeti ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kwa mwaka 2023/2024.
Habari na Matukio
22 Mar, 2023 CAG aendesha mafunzo maalumu kwa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Bajeti, Machi 21, 2023 Bungeni, Dodoma.
Habari na Matukio
22 Mar, 2023 Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi yaandaa Bonanza la kuchangia damu na kuimarisha afya za Wafanyakazi.
Habari na Matukio
08 Mar, 2023 Hongera Wanawake Wote kwa Kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Machi 8, 2023.
Habari na Matukio
07 Mar, 2023 Siku ya Wanawake Duniani-Machi 8, 2023.
Habari na Matukio
03 Mar, 2023 Kikao kazi kinachoshirikisha nchi za Tanzania, Ghana, Ethiopia, Rwanda na Malawi kuhusiana na Usimamizi na utekelezaji wa Mipango Mkakati ya TEHAMA katika Taasisi za Kuu za Ukaguzi.
Habari na Matukio
07 Feb, 2023 NAOT Performance Auditors trained on Data Management Guidelines.
Habari na Matukio
27 Jan, 2023 Tunakutakia Heri katika Siku yako ya Kuzaliwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Habari na Matukio
27 Jan, 2023 Waajiriwa Wapya wala Kiapo cha Utumishi kwa mujibu wa Sheria ya Ukaguzi wa Umma Sura 418.
Habari na Matukio
27 Jan, 2023 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E. Kichere azungumza na Waajiriwa Wapya wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.
Habari na Matukio
20 Jan, 2023 Mkutano Mkuu wa mwaka 2023 wa Ukaguzi SACCOS.
Habari na Matukio
18 Jan, 2023 Skani “QR Code” kupata Jarida la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.
Habari na Matukio
19 Dec, 2022 Salamu za Pongezi za CAG kwa Watumishi waliohitimu “Masters of Finance Investment” chuo cha IFM.
Habari na Matukio
15 Dec, 2022 Kwa kupitia tovuti yetu Mwananchi anaweza kupata Ripoti mbalimbali za Ukaguzi.
Habari na Matukio
09 Dec, 2022 Heri ya Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania
Habari na Matukio
01 Dec, 2022 Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani!
Habari na Matukio
26 Nov, 2022 Regional East-Africa Cooperation on Communication, Quality Control/Quality Assurance Workshop held in Kigali, Rwanda on November, 2022.
Habari na Matukio
24 Nov, 2022 Warsha ya Mawasiliano, Udhibiti na Uhakiki Ubora yafanyika Kigali, Rwanda
Habari na Matukio
11 Nov, 2022 Ukaguzi wa Umoja wa Afrika (AU)
Habari na Matukio
28 Oct, 2022 Ushirikiano wa Ofisi ya CAG na Taasisi Kuu nyingine za Ukaguzi (SAI’s)
Habari na Matukio
19 Oct, 2022 Members of the High level planning meeting from the various Supreme Audit Institutions (SAI) of the East Africa Community (EAC) Audit Commission for the financial year 2021/2022.
Habari na Matukio
14 Oct, 2022 Kumbukizi ya Miaka 23 ya Kifo cha Baba wa Taifa Mw. Julius Kambarage Nyerere
Habari na Matukio
13 Oct, 2022 CAG, Bw. Charles Kichere akiwa katika picha ya pamoja na Washiriki wa Kikao Kazi cha NAOT na SNAO jijini Dar es Salaam.
Habari na Matukio
12 Oct, 2022 Washiriki wa Kikao cha Kamati ya Uendeshaji ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Kitaasisi kati ya NAOT na SNAO kilichofanyika Oktoba, 2022 jijini Dar es Salaam.
Habari na Matukio
06 Oct, 2022 Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi yateuliwa kwa kipindi cha pili Kukagua Hesabu za Umoja wa Afrika (AU)
Habari na Matukio
04 Oct, 2022 Faida na Umuhimu wa kushirikiana na CAG wakati wa kazi ya Ukaguzi
Habari na Matukio
29 Sep, 2022 Mkurugenzi wa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika wa Benki ya Dunia, Bw. Asad Alam atembelea Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.
Habari na Matukio
27 Sep, 2022 Hongera sana AAG, Bw. Azizi Jumanne Dachi kwa kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Bodi ya Benki ya NMB.
Habari na Matukio
27 Sep, 2022 Aina ya Kaguzi zinazotekelezwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)
Habari na Matukio
21 Sep, 2022 NAOT Staff Top Scorers CISA Exam held between January-June, 2022.
Habari na Matukio
21 Sep, 2022 Warsha ya mwaka ya Rasilimaliwatu (AFROSAI-E Annual HR Workshop) iliyoandaliwa na AFROSAI-E inafanyika kuanzia Septemba 19-23, 2022 jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Habari na Matukio
10 Sep, 2022 Karibu ufatilie kurasa zetu za mitandao ya kijamii ya Twitter, Facebook, Instagram na YouTube kupitia @ukaguzitanzania
Habari na Matukio
10 Sep, 2022 Watumishi NAOT kutoka Divisheni mbalimbali wakabidhiwa Tuzo ya CAG ya Ripoti Bora ya Ukaguzi kwa mwaka wa Fedha 2020/2021.
Habari na Matukio
05 Sep, 2022 Ziara ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ofisi ya Ukaguzi Zanzibar.
18 Aug, 2022 AFROSAI-E Annual HR Regional Workshop: 19 – 23 September in Dar es Salaam, Tanzania
12 Aug, 2022 Mafunzo maalumu ya kuwajengea uwezo Wasaidizi wa Mkaguzi Mkuu na Wakaguzi Wakuu wa Nje yaliyoandaliwa na Bodi na Taasisi ya Ukaguzi wa Mafunzo ya Korea Kusini (AITI na BAI) kwa ushirikiano na NAOT.
Habari na Matukio
08 Aug, 2022 Heri ya Sikukuu ya Wakulima 8/8
Habari na Matukio
05 Aug, 2022 TANZIA
Habari na Matukio
26 Jun, 2022 OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YATOA MSAADA KWA KITUO CHA KULEA WATOTO CHA KIJIJI CHA MATUMAINI DODOMA
Habari na Matukio
Tarehe Jina Kundi