Habari na Matangazo

Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bi. Wendy Massoy amefunga mafunzo kwa Wakaguzi wa Ufanisi kutoka nchi za Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda.

Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bi. Wendy Massoy amefunga mafunzo kwa Wakaguzi wa Ufanisi kutoka nchi za Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda. Wawezeshaji wa mafunzo hayo Ofisi ya Taifa ya…

Soma Zaidi

Heri ya Miaka 60 ya Muungano.

Heri ya Miaka 60 ya Muungano.

Soma Zaidi

Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Bw. Novati Mfalamagoha, amemwakilisha CAG kwenye kufungua mafunzo kwa Wakaguzi wa Ufanisi kutoka nchi za Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda.

Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Bw. Novati Mfalamagoha, amemwakilisha CAG kwenye kufungua mafunzo kwa Wakaguzi wa Ufanisi kutoka nchi za Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda. Mafunzo hayo…

Soma Zaidi

Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1964 - 2024.

Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1964 - 2024.

Soma Zaidi

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E. Kichere amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la JP Magufuli lenye Urefu wa Km 3.2 (Kigongo -Busisi), Mwanza.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E. Kichere amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la JP Magufuli lenye Urefu wa Km 3.2 (Kigongo -Busisi) mkoani Mwanza.…

Soma Zaidi

Rais wa Mahakama ya Ukaguzi wa Hesabu ya Ufalme wa Saudi Arabia, Dkt. Husam Alangari na Ujumbe wake wamefanya ziara kwenye Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi jijini Dar es Salaam.

Rais wa Mahakama ya Ukaguzi wa Hesabu ya Ufalme wa Saudi Arabia, Dkt. Husam Alangari na Ujumbe wake wamefanya ziara kwenye Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi Tanzania (NAOT) ambapo wamepata fursa ya kufanya kikao…

Soma Zaidi

CAG, Bw. Charles E. Kichere akikaribishwa Bungeni na Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azan Zungu wakati Serikali ilipowasilisha Bungeni Ripoti za Ukaguzi wa CAG kwa Mwaka wa Fedha 2022/23.

CAG, Bw. Charles E. Kichere akikaribishwa Bungeni na Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azan Zungu wakati Serikali ilipowasilisha Bungeni Ripoti za Ukaguzi wa CAG kwa Mwaka wa Fedha 2022/23.

Soma Zaidi

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E. Kichere amezungumza na Waandishi wa Habari jijini Dodoma kuhusiana na Ripoti Kuu za Ukaguzi wa Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/23.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E. Kichere amezungumza na Waandishi wa Habari jijini Dodoma kuhusiana na Ripoti Kuu za Ukaguzi wa Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/23.

Soma Zaidi