Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka wa Fedha ulioishia Tarehe 30 Juni 2019 zawasilishwa Bungeni leo tarehe 06 Aprili 2020

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali  anapenda kuvijulisha vyombo vya Habari  na Umma wa Watanzania kwamba leo Tarehe 6 Aprili 2020 taarifa zake za Ukaguzi kwa Mwaka wa Fedha ulioishia…

Read More

The Controller and Auditor General (CAG) submitting Annual General Audit Reports for financial year ended 30 June 2019 to President Dr. John Joseph Pombe Magufuli

The Controller and Auditor General (CAG) Mr Charles E. Kichere on the right submitting Annual General Audit Reports for financial year ended 30 June 2019 to President of the United Republic of Tanzania, his…

Read More

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi yafanya Warsha ya siku mbili kwa Waandishi wa Habari Mkoani Mwanza

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali inaendesha warsha ya siku mbili na Waandishi wa Habari  Mkoani Mwanza. Warsha hii ina lengo la kuwajengea washiriki uwezo katika kuripoti taarifa za…

Read More

Mwakilishi wa Balozi wa Sweden atembelea Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi

Mwakilishi wa Balozi wa Sweden atembelea Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi

Read More

Ofisi ya Taifa ya ukaguzi yafanya kikao kazi na wadau mbalimbali wa sheria mkoani - Singida

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi inaendesha kikao kikao kazi juu ya matumizi ya Nyaraka za Ukaguzi katika uchunguzi na uendeshaji wa mashauri Mahakamani yanayowashirikisha wataalamu kutoka Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi,…

Read More

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Yafanya warsha ya siku mbili mkoani Morogoro

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali  inaendesha warsha ya siku mbili (Februari 6-7,2020) kwa Wahariri wa vyombo vya Habari  na waandishi wa Habari  Mkoani Morogoro. Warsha…

Read More

Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles Edward Kichere pamoja na watumishi wote wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali wanaungana na Watanzania wote katika kuadhimisha…

Read More

Washiriki wa Warsha wakimsikiliza Msemaji MKuu wa Serikali

Baadhi ya washiriki wakimsikiliza Msemaji MKuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi wakati akiwasilisha mada ya Wajibu wa Wanahabari katika kuandika ripoti katika warsha  iliyofanyika katika ofisi ya Taifa ya…

Read More