Sun, May 19, 2024
English [en]
Swahili [sw]
A
A
A
Toggle navigation
The United Republic of Tanzania
NATIONAL AUDIT OFFICE
Vision:
A credible and modern Supreme Audit Institution with high-quality audit services for enhancing public confidence.
Home
About Us
History
Vision and Mission
Organization Structure
Our Services
Strategic Plans
List of CAGs
Management Team
CAG's Reports
Financial Audit Reports
General Audit Reports
Performance Audit Reports
IS Audit Reports
Forensic Audit Reports
Environmental Audit Reports
Technical Audit Reports
Special Audit Reports
Citizen Reports
Publications
Laws and Regulations
Journals / Periodicals
News and Announcements
News and Events
Press Releases
Tenders and Vacancies
Related Links
Photo Gallery
Multimedia Videos
Contact Us
Report Fraud
{phrase:no-entry}
News and Announcements
News and Events
Press Releases
Tenders and Vacancies
Related Links
Photo Gallery
Multimedia Videos
Naibu Mkaguzi Mkuu (Serikali za Mitaa), Bi. Kubela Mwakatundu amewasilisha mada kwa Wakurugenzi waliopo chini ya Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.
Watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi jijini Dodoma wameshiriki kikamilifu katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, Mei Mosi kwa mwaka 2024 katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.
Heri ya Maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani - Mei Mosi 2024.
Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bi. Wendy Massoy amefunga mafunzo kwa Wakaguzi wa Ufanisi kutoka nchi za Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda.
Heri ya Miaka 60 ya Muungano.
Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Bw. Novati Mfalamagoha, amemwakilisha CAG kwenye kufungua mafunzo kwa Wakaguzi wa Ufanisi kutoka nchi za Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda.
Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1964 - 2024.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E. Kichere amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la JP Magufuli lenye Urefu wa Km 3.2 (Kigongo -Busisi), Mwanza.
Rais wa Mahakama ya Ukaguzi wa Hesabu ya Ufalme wa Saudi Arabia, Dkt. Husam Alangari na Ujumbe wake wamefanya ziara kwenye Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi jijini Dar es Salaam.
CAG, Bw. Charles E. Kichere akikaribishwa Bungeni na Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azan Zungu wakati Serikali ilipowasilisha Bungeni Ripoti za Ukaguzi wa CAG kwa Mwaka wa Fedha 2022/23.
Subscribe to Email Updates
Get all latest updates from NAOT in Your Inbox
English
Swahili