Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali

Kuteuliwa kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.

Kabla ya uhuru wa Tanganyika Ofisi ilifahamika kama Idara ya Ukaguzi ndani ya Tanganyika na Kiongozi wa Ofisi hiyo alitambulika kama Mkurugenzi wa Ukaguzi.  Mkurugenzi huyo aliteuliwa na Katibu wa Jimbo au Gavana Mkuu kwa maelekezo ya Katibu wa Jimbo kwa niaba ya Mfalme au Malkia wa Uingereza.

Mapema kabla ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961 baada ya sheria ya Exchequer and Audit Ordinance ya mwaka 1961 jina la taasisi lilibadilishwa kutoka Idara ya Ukaguzi na kuwa   Idara ya Malipo na Ukaguzi (Exchequer and Audit Department), pia jina la Mkuu wa Taasisi lilibadilika kutoka Mkurugenzi wa Ukaguzi na kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.

Wakati wa uhuru mamlaka ya uteuzi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali yalikuwa kwa Gavana kwa kuzingatia ushauri wa Waziri Mkuu wa Tanganyika wakati huo. Mwaka 1962 iliundwa Katiba ya Jamhuri ya Tanganyika ambayo pia ilitambua uwepo wa Ofisi. Katiba hiyo ilibadilisha Mamlaka ya uteuzi kutoka kwa Gavana na kuwa mwanzo  wa kuwepo kwa Mamlaka ya kikatiba ya Rais kumteua mkuu wa taasisi. Hata katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatambua mamlaka ya  Rais kumteua mkuu wa taasisi hii.

Orodha ya Wadhibiti na Wakaguzi Wakuu wa Hesabu za Serikali waliowahi kuongoza Taasisi hii

Mr. Charles E. Kichere - CAG wa Sasa

Mr. Charles E. Kichere

CAG: 2019 - Soma Zaidi

Mr. Charles E. Kichere

CAG: 2019 -

Samahani! Hakuna Taarifa Sehemu hii kwa Sasa!

Prof. Mussa Juma Assad - CAG Mstaafu

Prof. Mussa Juma Assad

CAG: 2014 - 2019 Soma Zaidi

Prof. Mussa Juma Assad

CAG: 2014 - 2019

Samahani! Hakuna Taarifa Sehemu hii kwa Sasa!

Mr. Ludovick S. L. Utouh - CAG Mstaafu

Mr. Ludovick S. L. Utouh

CAG: 2006 - 2014 Soma Zaidi

Mr. Ludovick S. L. Utouh

CAG: 2006 - 2014

Samahani! Hakuna Taarifa Sehemu hii kwa Sasa!

Mr. Thomas Kiama - CAG Mstaafu

Mr. Thomas Kiama

CAG: 1996 - 2005 Soma Zaidi

Mr. Thomas Kiama

CAG: 1996 - 2005

Samahani! Hakuna Taarifa Sehemu hii kwa Sasa!

Mr. Gordon. A. Hutchinson - CAG Mstaafu

Mr. Gordon. A. Hutchinson

CAG: 1964 - 1969 Soma Zaidi

Mr. Gordon. A. Hutchinson

CAG: 1964 - 1969

Samahani! Hakuna Taarifa Sehemu hii kwa Sasa!

Mr. Mohamed Aboud - CAG Mstaafu

Mr. Mohamed Aboud

CAG: 1969 - 1996 Soma Zaidi

Mr. Mohamed Aboud

CAG: 1969 - 1996

Samahani! Hakuna Taarifa Sehemu hii kwa Sasa!

Mr. R.W.A. McColl - CAG Mstaafu

Mr. R.W.A. McColl

CAG: 1961 to 1963 Soma Zaidi

Mr. R.W.A. McColl

CAG: 1961 to 1963

Samahani! Hakuna Taarifa Sehemu hii kwa Sasa!