Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bi. Wendy Massoy akiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa kutoka nchini Zambia, Mhe. Darious Mulunda (MB) wakati Kamati yake ilipofanya ziara siku moja Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) jijini Dodoma.
Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bi. Wendy Massoy akiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa kutoka nchini Zambia, Mhe. Darious Mulunda (MB).
Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bi. Wendy Massoy akiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa kutoka nchini Zambia, Mhe. Darious Mulunda (MB) wakati Kamati yake ilipofanya ziara siku moja Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) jijini Dodoma. Wakiwa Ofisini hapo Wajumbe wa Kamati hiyo ya Bunge walipata fursa ya kufanya kikao kifupi na Viongozi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi na kujadili masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na namna NAOT inavyoendesha kazi za Ukaguzi wa Serikali za Mitaa. Katika picha ni matukio mbalimbali kuhusiana na ziara ya Kamati hiyo nchini Tanzania