Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Charles E. Kichere akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi Vijana (SAI Young Leaders) kutoka Taasisi Kuu za Ukaguzi za nchi za Tanzania, China, Costa Rica, Fiji, India, Kenya, Malaysia, Maldives, Philippines, Lativia, Rwanda, Afrika Kusini na Zambia