Habari na Matukio

Heri ya Sikukuu ya Maulid.

Heri ya Sikukuu ya Maulid.

Read More

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Bw. Crispin F. Chalamila, amemtembelea CAG, Bw. Charles E. Kichere Ofisini kwake jijini Dodoma

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Bw. Crispin F. Chalamila, amemtembelea Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Charles E.…

Read More

Heri ya Siku ya Nane Nane 2024

Heri ya Siku ya Nane Nane 2024

Read More

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi Yaandaa Mafunzo ya Ukaguzi na Kusambaza Toleo Maalumu la Mwananchi kwa Asasi za Kiraia Mkoani Mtwara.

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi Yaandaa Mafunzo ya Ukaguzi na Kusambaza Toleo Maalumu la Mwananchi kwa Asasi za Kiraia Mkoani Mtwara.

Read More

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, akimvalisha medali ya ushiriki wa Bonanza la Bunge, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E. Kichere.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, akimvalisha medali ya ushiriki wa Bonanza la Bunge, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E. Kichere.

Read More

CAG, Mr. Charles E. Kichere, presenting an award to Ms. Mayasa Shemhaji, the winner of the logo design competition for the Training, Research, and Innovation Center of the National Audit Office.

CAG, Bw. Charles E. Kichere, akikabidhi zawadi kwa Bi. Mayasa Shemhaji, mshindi wa shindano la kubuni nembo ya Kituo cha Mafunzo, Utafiti na Ubunifu cha Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.

Read More

CAG, Bw. Charles E. Kichere, aendesha Kikao cha pamoja na IAG, Bw. Benjamin Mashauri, na Wakaguzi kutoka Kampuni Binafsi za Ukaguzi kufanya tathmini ya ukaguzi 2022-23 jijini Arusha.

CAG, Bw. Charles E. Kichere, aendesha Kikao cha pamoja na IAG, Bw. Benjamini Mashauri, na Wakaguzi kutoka Kampuni Binafsi za Ukaguzi kufanya tathmini ya ukaguzi 2022-23 jijini Arusha.

Read More

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) imeendesha mafunzo kwa Wabunge, Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za LAAC, Bajeti, PIC na PAC.

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) imeendesha mafunzo kwa Wabunge, Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za LAAC, Bajeti, PIC na PAC.

Read More