Watumishi wa ofisi ya Taifa ya Ukaguzi watakiwa kutangaza Mali na Madeni
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAO) leo tarehe 28 Mei imefanya kikao kazi cha siku moja ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuandaa mapendekezo ya utungwaji wa Kanuni za Utangazaji Mali na Madeni kwa watumishi wa Ofisi…
Soma Zaidi