CAG AKUTANA NA WAKAGUZI KUTOKA TAASISI NA KAMPUNI BINAFSI

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Charles Kichere akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakaguzi kutoka Taasisi na Kampuni binafsi na wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT). Kushoto waliokaa ni…

Soma Zaidi

Naibu Spika afunga mafunzo kwa Wabunge ya kuwaongeza ujuzi wa kuchambua na kujadili ripoti za Ukaguzi

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azan Zungu amefunga mafunzo kwa Wabunge yaliyolenga kuwaongezea ujuzi wa kuchambua na kujadili ripoti za ukaguzi zinazotolewa na Mdhibiti na…

Soma Zaidi

Sensa ya Mwaka 2022

Sensa kwa Maendeleo ya Taifa

Soma Zaidi

Tangazo la nafasi za kazi Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) 27-05-2022

Tangazo la nafasi za kazi Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) 27-05-2022

Soma Zaidi

NAOT yafanya kikao kazi na Waandishi wa Habari za kijamii Mkoani Morogoro

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi imeanza kikao kazi na waandishi wa habari kutoka vyombo vya habari vinavyotumia mitandao ya kijamii (social media platforms) ili kutoa mafunzo ya siku tatu kwa ajili ya kuwajengea…

Soma Zaidi

CAG atembelea Makumbusho ya mauaji ya kimbari (Genocide) nchini Rwanda ya mwaka 1994.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Bw. Charles E Kichere akisaini Kitabu cha Heshima nchini Rwanda tarehe 30/9/2021 alipotembelea eneo la kumbukumbu ya mauaji ya kimbari (Genocide) ya…

Soma Zaidi

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi yatoa mafunzo kwa Kamati za kudumu za Bunge za PAC, PIC, LAAC na kwa Watumishi wake katika kuwajengea uwezo.

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi inafanya mafunzo kwa ajili ya kuwajengea uwezo Wabunge wa Kamati za kudumu za Bunge. Kamati hizi ni pamoja na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) Kamati ya kuhudumu ya Serikali za…

Soma Zaidi