Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Salhina Mkumba akiwa na Washiriki wa Warsha ya kuongeza uelewa wa Maadili iliyoandaliwa na INTOSAI-IDI na kufanyika Dodoma Novemba 15, 2023.
Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Salhina Mkumba (katikati), katika picha ya pamoja na washiriki wa warsha ya ISSAI 130 kuhusu maadili na muongozo wa kimataifa katika ukaguzi. Warsha…
Soma Zaidi