Habari na Matangazo

NAOT kukagua Umoja wa Mataifa (UN)

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali (NAOT) imeanza rasmi kukagua Hesabu za Umoja wa mataifa. Ukaguzi huu umeanza rasmi tarehe 01 Julai 2012. Akizungumza na vyombo vya habari leo katika mkutano na…

Soma Zaidi

Take CAG audits more seriously, government urged

The government has been urged to start taking audits more seriously and to make sure that recommendations made by the Controller and Auditor General (CAG) are not ignored. Dar es Salaam based…

Soma Zaidi

Ludovick Utouh apitishwa kuwa mjumbe wa bodi ya wakaguzi ya hesabu za Umoja wa Mataifa

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Ludovick Utouh amependekezwa na kupitishwa kwa kauli Moja kuwa Mjumbe wa Bodi ya wakaguzi wa Hesabu za Umoja wa…

Soma Zaidi

96 pct of forest harvesting in Tanzania illegal

“There is no effective controls in the forestry sector…legal tree cutting accounts for only 4 per cent,” the CAG, Ludovick Utouh, told reporters here yesterday when he unveiled Performance…

Soma Zaidi

CAG abaini madudu Kishapu

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Ludovick Utouh, akizungumza na waandishi wa habari juu ya ripoti ya ukaguzi maalum katika Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga na matumizi ya…

Soma Zaidi

PMO, Ministry differ on forest management

There are conflicting objectives between the Ministry of Natural Resources and Tourism and Prime Minister’s Office (Regional Administration and Local Government) in the management of forests, one of the…

Soma Zaidi

Miaka 50 ya Uhuru: Kutoka Ofisi ya Mkaguzi Mkoloni hadi Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi

DESEMBA 9 mwaka huu, Tanganyika iliadhimisha miaka 50 ya uhuru wake huku kukiwa na mambo kadhaa ambayo idara kama za Serikali Kuu ziliandaa na kuonyesha. Kumbukumbu hiyo ya uhuru ilionyesha historia ya mambo…

Soma Zaidi

Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka wa Fedha unaoishia Tarehe 30 Juni 2010

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mr. Ludovick S. L. Utouh amewasilisha bungeni Ripoti za Hesabu zilizokaguliwa za Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma kwa Mwaka wa Fedha…

Soma Zaidi