Habari na Matangazo

Mafunzo maalumu ya kuwajengea uwezo Wasaidizi wa Mkaguzi Mkuu na Wakaguzi Wakuu wa Nje yaliyoandaliwa na Bodi na Taasisi ya Ukaguzi wa Mafunzo ya Korea Kusini (AITI na BAI) kwa ushirikiano na NAOT.

Naibu Mkaguzi Mkuu, Bw. George Haule (kulia) akikabidhi kwa niaba ya CAG cheti cha kuhitimu mafunzo, kwa Bw. Isaya Jeremia wakati wa kufunga mafunzo ya kuwajengea uwezo wa mbinu za ukaguzi, Wasaidizi wa…

Soma Zaidi

Heri ya Sikukuu ya Wakulima 8/8

Heri ya Sikukuu ya Wakulima 8/8

Soma Zaidi

TANZIA

TANZIA

Soma Zaidi

OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YATOA MSAADA KWA KITUO CHA KULEA WATOTO CHA KIJIJI CHA MATUMAINI DODOMA

OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YATOA MSAADA KWA KITUO CHA KULEA WATOTO CHA KIJIJI CHA MATUMAINI DODOMAWafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) wamekabidhi msaada kwa kituo cha watoto yatima kilichopo Kijiji…

Soma Zaidi

WAFANYAKAZI WASTAAFU WAAGWA HUKU WAFANYAKAZI BORA NA HODARI WAKIKABIDHIWA ZAWADI ZAO

WAFANYAKAZI WASTAAFU WAAGWA HUKU WAFANYAKAZI BORA NA HODARI WAKIKABIDHIWA ZAWADI ZAOMenejimenti ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) imefanya hafla ya kuwaaga Watumishi waliostaafu pamoja na kukabidhi zawadi…

Soma Zaidi

Report on the Audit of Utilisation of Funds Issued Under the Catastrophe Containment and Relief Trust Facility from June 2020 to April 2022

This report presents the audit observations and recommendations on the utilisation of funds issued under Catastrophe Containment and Relief Trust (CCRT) Facility from June 2020 to April 2022 as approved…

Soma Zaidi

CAG AKUTANA NA WAKAGUZI KUTOKA TAASISI NA KAMPUNI BINAFSI

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Charles Kichere akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakaguzi kutoka Taasisi na Kampuni binafsi na wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT). Kushoto waliokaa ni…

Soma Zaidi

Naibu Spika afunga mafunzo kwa Wabunge ya kuwaongeza ujuzi wa kuchambua na kujadili ripoti za Ukaguzi

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azan Zungu amefunga mafunzo kwa Wabunge yaliyolenga kuwaongezea ujuzi wa kuchambua na kujadili ripoti za ukaguzi zinazotolewa na Mdhibiti na…

Soma Zaidi